Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti ya Iran (ACECR) imelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, na kubainisha kwamba vitendo hivyo viovu vinaonyesha "chuki kubwa" ya maadui dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3476479 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28